Bendi
maarufu barani Ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-
Ughaibuni inatategemewa kufanya onyesho maalumu katika Grande VIP siku ya Jumamosi 12 Septemba 2015, kule katika kisiwa cha mabwanyenye Marbella, kilichopo Spain. Bendi hiyo imealikwa na VIP Yatch Club ya Marbella.
Usikose kuungana nao at www.facebook.com/ ngomaafricaband
No comments:
Post a Comment