Pages

Pages

Pages

Wednesday 23 September 2015

KAMPENI ZA DK MAGUFULI ZATUA MJI MDOGO WA KATORO,GEITA


 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Mji Mdogo wa Katoro, Jimbo la Busanda mkoani Geita leo. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 sehemu ya umati wa wananchi katika mkutano huo uliofanyika Mji Mdogo wa Katoro Geita.
 Dk Kinana akihutubia na kuomba wananchi wampigie kura katika Mji wa Runzewe Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita leo
 Wengine ilibidi wawe juu ya kuta ili wapate kumona Dk Magufuli wakati wa kampeni katika mji wa Runzewe, Bukombe, Geita
 Umati wa watu katika mkutano wa kampeni Runzewe
 Dk Magufuli akiwapungia wananchi alipokuwa akiingia katika miji ya Buselesele na Katoro
 Msafara ukiingia katika mkutano wa kampeni katika Mji wa KATORO,
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Musukuma akihutubia kabla ya kumkaribisha Dk Magufuli mjini Katoro

No comments:

Post a Comment