UNAKUMBUKA FRANCO ALIVYOMPIGIA KAMPENI MOBUTU MWAKA 1984?
Wimbo huu uliimbwa na L'Okanga La Ndju Pene Luambo Luanzo Makiadi almaarufu kama Franco mwaka 1984 akiwa anampigia rafiki yake kipenzi Joseph Mobutu, au Mobutu Seseseko Nkuku Ndegbu Wa Zabanga. Hawa jamaa walikuwa marafiki wakubwa, ingawa kuna wakati walikuwa wakitofautiana.
No comments:
Post a Comment