Pages

Pages

Pages

Sunday 21 June 2015

WALIOKUFA KWA POMBE YA GONGO INDIA WAFIKIA 90!


Zaidi ya watu 90 wamefariki kutokana na pombe iliokuwa na sumu katika mji wa India, Mumbai huku wengi wengine wakiwa hospitalini.

Vifo vya kwanza viliripotiwa siku ya jumatano.
Naibu wa kamishna wa polisi katika mji huo amesema kuwa watu 150 waliokunywa pombe hiyo iliotengezwa nyumbani katika mtaa mmoja wa mabanda.
null
India pombe
Vifo vinavyosababishwa na pombe ilio na sumu vimekuwa jambo la kawaida nchini India ambapo pombe rahisi inayotengezwa nyumbani ni maarufu miongoni mwa wakaazi wake walio maskini.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment