Pages

Pages

Pages

Saturday 9 May 2015

WANAFUNZI AUAWA NA BOKO HARAM

Wapiganaji wa Boko Haram
Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa wanafunzi watatu wa chuo kimoja cha mafunzo ya biashara, wameuwawa na wapiganaji wa Boko Haram, pale chuo chao kilipovamiwa kazkazini mashariki mwa Nchi hiyo.

Wengine kadhaa walipata majeraha mabaya ya risasi, pale watu wanaoaminika kuwa wa kundi la wanamgambo wa Boko Haram, walipovamia chuo chao na kuanza kumina risasi kiholela.
Mmoja wa washambuliaji alifariki alipojilipua nje ya lango la chuo hicho, nje kidogo ya mji wa Potiskum katika jimbo la Yobe.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment