Pages

Pages

Pages

Tuesday 7 April 2015

VPL KUENDELEA KESHO, YANGA YAIKARIBISHA COASTAL

Ligi kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea kesho jumatano katika viwanja viwili jijini Dar es salaam, kwa vinara wa ligi hiyo Young Africans kuwakaribisha Coastal Union kwenye dimba la Uwanja wa Taifa.


Uwanja wa Chamazi Complex, wenyeji timu ya Azam FC wanaokamata nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu, watawakaribsiha wagonga nyundo kutoka jijini Mbeya timu ya Mbeya City FC.

No comments:

Post a Comment