Pages

Pages

Pages

Saturday 18 April 2015

UNA RAMBO? ....MIWA HII HAPA!

Naam. Miwa inauzwa hii, na huu ndio msimu wa miwa.
Ni Kijiji cha Matanga, Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Karibuni, hakuna radi wala nini.

Mbega.

No comments:

Post a Comment