Pages

Pages

Pages

Saturday 18 April 2015

JULIO ATAMBA "NATAKA USHINDI"

Displaying DSC09814.JPG
Kocha Mkuu wa Coastal Union, Jamhuri Kihwelu "Julio"akisisitiza jambo kwa wachezaji wa timu hiyo mara baada ya kumalizika mazoezi yao juzi kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani kwa ajili ya kujiandaa na mechi yao ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo kwenye uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro,Picha kwa Hisani ya Coastal Union.

Displaying DSC09817.JPG
Displaying DSC09813.JPG

No comments:

Post a Comment