Pages

Pages

Pages

Monday 30 March 2015

WATU 40 WANUSURIKA KIFO AJALI LA BASI LA NDENJELA

Displaying 20150329_171815.jpg
Baadhi ya Abiria na wananchi wa kijiji cha Milundikwa wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wakiangalia basi la Ndenjela Express lenye namba za usajili T 850 CRE kutoka Sumbawanga kwenda Mpanda mkoani Katavi ambalo limepinduka jana nyakati za saa 11 jioni. Abiria kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa hospitali ya Mkoa mjini Sumbawanga. Picha na Mussa Mwangoka.

Displaying 20150329_171818.jpg 
Displaying 20150329_171108.jpg 
Displaying 20150329_172152.jpg

No comments:

Post a Comment