Pages

Pages

Pages

Monday 23 March 2015

UGONJWA WA EBOLA BADO TISHIO


Mashirika ya utoaji misaada yanaonya hali bado ni tete, mwaka mmoja tangu ugonjwa wa Ebola kulipuka magharibi mwa Afrika.

Shirika la madaktari wasiokuwa na mipaka- MSF, linasema kuwa mlipuko huo ambao uliwauwa zaidi ya watu elfu kumi.
Shirika limesema namna mashirika ya matibabu na watoaji misaada ya dharura, yalivyoendesha shughuli za kuwaokoa watu kuwa ni taratibu mno.
BBC

No comments:

Post a Comment