Pages

Pages

Pages

Thursday 11 December 2014

WANAJESHI WAUAWA AFGHANISTAN


Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.

Wamesema shambulio hilo, lakujitoa mhanga lililenga basi lililokuwa limejaza wanajeshi mashariki mwa mji huo.
Wapiganaji wa Taliban wamedai kuhusika na shambulio hilo.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment