Pages

Pages

Pages

Monday 22 December 2014

NIGER KUIKABILIA NIGERIA KOMBE LA AFRIKA


Shirikisho la soka barani Afrika Caf limetangaza ratiba ya michuano ya kombe la Afrika kwa vijana, itakayofanyika nchini Niger 2015.
Wenyeji wa michezo hiyo Niger walio kundi A wataanza kuwakabili Nigeria huku mchezo mwingine wa kundi A utawakutanisha Guinee na Zambia.
Michezo ya kundi B Ivory Coast wataanza kwa kumenyana na Afrika kusini kundi huku Mali wakiwakabili Cameroon
Fainali za michuano hiyo ya vijana chini ya umri wa miaka 17, itafanyika kuanzia February 15 mwaka 2015 huko nchi Niger.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment