RAIS KIWETE AENDA MAREKANI KWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
ameondoka nchini jioni ya leo, Alhamisi Novemba 6, 2014, kwenda Marekani
kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake.
Rais Kikwete atakuwa Marekeni kwa muda wa siku kumi.
Mwisho.
Imetolewa na; Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu – Dar es Salaam. 06 Novemba, 2014
No comments:
Post a Comment