Pages

Pages

Pages

Monday 17 November 2014

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AHUTUBIA KILWA MASOKO

2Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi  akiwahutubia wananchi wa Kilwa Masoko katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mkapa Square leo.
6
Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini kupitia chama cha CUF Selemani Bungala Maarufu kama Bwege akiwa na wanachama wenzake   wakati Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara mjini Kilwa Masoko leo.
7
Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini kupitia chama cha CUF Selemani Bungala Maarufu kama Bwege akifurahia jambo wakati Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara mjini Kilwa Masoko leo.
8
9
Mkuu wa wilaya ya Kilwa Ndugu Abdallah Ulega akimpongeza Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ali Mtopa mara baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara.
10
Umati wa wananchi ukiwa katika mkutano huo.
11
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa  Ndugu Abdalah Ulega akizungumza na wananchi katika mkutano huo.
12
Kikundi cha muziki kikitumbuiza katika mkutano huo.
13
Wananchi wakiserebuka na muziki katika mkutano huo.
02
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiendesha mtambo wa kutengeneza barabara wakati akishiriki katika ujenzi wa mmradi wa barabara ya Kwa Mkocho inayoelekea Kilwa Kivinje wilayani Kilwa.
01 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda kwenye Mtambo wa kutengeneza barabara tayari kwa kushiriki ujenzi wa barabara hiyo.
03
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiendelea na kazi.
04
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishangiliwa na Mkuu wa wilaya ya Kilwa Ndugu Abdallah Ulega wakati alipokuwa akiendesha mtambo wa kutengeneza barabara aliposhiriki katika ujenzi wa mradi wa barabara ya Kwa Mkocho inayoelekea Kilwa Kivinje.
05
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye mtambo wa kutengeneza barabara ya Kwa Mkocho mara baada ya kushiriki ujenzi huo, kushoto anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya Kilwa Ndugu Abdallah Ulega.
2
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo ya  chanzo cha maji wakati alipokagua  shamba la kilimo cha uwagiliaji  Mavuji kulia ni Mkuu wa wilaya ya Kilwa Ndugu Abdallah Ulega.
1
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoka kukagua chanzo cha maji wakati alitembelea kilimo cha Umwagiliaji kata ya Mavuji.
3 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa shamba la umwagiliaji kata ya Mavuji.
4  5 
Mbunge wa jimbo la Nchinga Mh. Said Mtanda akisalimia wananchi Nangurukuru.
6
Mbunge wa jimbo la Mtama, Mlezi wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Kilwa na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya taifa Mh Bernard Membe akisalimia wananchi Nangurukuru.
8 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu ABdulrahman Kinana akizungumza na wananchi kabla ya kushiriki ujenzi wa nyumba ya daktari katika zahanati ya Nangurukuru
13
Mradi wa shambi la kuvuna chumvi Miima wilayani Kilwa
14
Baadhi ya wananchi wakisafisha chumvi katika mradi wa kuvuna chumvi Miima Kilwa.
16
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika shughuli za uvunaji wa Chumvu katika shamba la Miina wilayani Kilwa.
CREDIT: FULLSHANGWE

No comments:

Post a Comment