Pages

Pages

Pages

Tuesday 21 October 2014

MAPIGANO MAKALI YAIBUKA TENA NIGERIA

Wanamgambo wa Bko Haram

Taarifa kutoka Kaskazini Mashariki mwa Nigeria zinasema zaidi ya watu ishirini wameuawa katika mapigano kati ya wanajeshi na wanamgambo wa kundi la Boko Haram, licha ya makubaliano ya kusitisha vita kufanyika ijumaa iliyopita.

Vurugu zilifanyika siku ya katika mji wa Damboa. Makubaliano ya kusitisha vita kati ya wanamgambo wa Boko Haram na serikali ya Nigeria yanatarajiwa kuwaokoa wasichana zaidi ya mia mbili waliotekwa na kikundi hicho mwezi Aprili mwaka huu.
Mwandishi wa BBC nchini Nigeria anasema mapigano hayo yameleta hali ya wasiwasi kuhusiana na uwezekano kusitisha mapigano hayo.
BBC/SWAHILI

No comments:

Post a Comment