Pages

Pages

Pages

Monday 27 October 2014

HIZI NI MBWEMBWE ZA STAND UNITED

Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

No comments:

Post a Comment