Pages

Pages

Pages

Tuesday 30 September 2014

MR SUGU AACHANA NA MKEWE FAIZA ALLY, MAMA SASHA ALIA KWA UCHUNGU

Mh. Sugu, mkewe Faiza Ally na mtoto wao Sasha

MUIGIZAJI wa filamu nchini Faiza Ally amemwagana na mwanamuziki mkongwe wa muziki wa kizazi kipya na Mbunge wa Mbeya mjini kupitiaCHADEMA Mhe. Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu !.... Kupiia Instagram Faiza ameandika maneno yanayoonyesha amemwagana na Mh.Sugu. Faiza aliandika hivi...

No comments:

Post a Comment