Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 12 August 2014

TEMEKE YAANZA AIRTEL RISING STARS KWA KISHINDO

Mshambuliaji wa timu ya vijana ya Temeke, Omary Rajabu (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya vijana ya Mbeya Philipo Edson katika mchezo wa mashindano ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa kwenye uwanja wa Karume.
????????
Mshambuliaji wa wa timu ya vijana ya Temeke, Sihaba Salehe (jezi nyekundu) akiwania mpira na kipa wa timu ya vijana ya Mbeya, Kelvin Dismas (kulia) na beki Yusufu Hongoli katika mchezo wa mashindano ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa.
????????
Mshambuliaji wa timu ya vijana ya Temeke, Haruna Ally (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya vijana ya Mbeya,Yusufu Hogoli katika mchezo wa mashindano ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa.
????????
Mshambuliaji wa timu ya vijana ya Temeke, Haruna Ally (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya vijana ya Mbeya, Yusufu Hogoli katika mchezo wa mashindano ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa.
????????
Mshambuliaji wa timu ya vijana ya Temeke, Haruna Ally (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya vijana ya Mbeya, Yusufu Hogoli katika mchezo wa mashindano ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa.
????????
Mshambuliaji wa wa timu ya vijana ya Temeke, Siaba Salehe (jezi nyekundu) akiwania mpira na beki wa timu ya vijana ya Mbeya,Yusufu Hongoli (jezi namba 6) katika mchezo wa mashindano ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa huku mwenzake Elia Salengo (jezi namba 13) akijiandaa kumsaidia.
CREDIT: FULLSHANGWEBLOG

No comments:

Post a Comment