Pages

Pages

Pages

Saturday 2 August 2014

SERENGETI BOYS YANYUKWA 4-0 'SAUZI'

dogo-serengeti
Na Baraka Mpenja
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys imebugizwa mabao 4-0 dhidi ya timu ya Taifa ya vijana wa umri huo ya Afrika kusini maarufu kama Amajimbos katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za vijana za mataifa ya Afrika.
Mechi hiyo rahisi kwa Afrika kusini imepigwa jioni ya leo katika uwanja wa Dobsonville uliopo Soweto na kushuhudia wenyeji wakitoka na furaha.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

No comments:

Post a Comment