Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 7 August 2014

KAGAME CUP KUANZA AGOSTI 8 KIGALI


Nicholas Musonye Katibu Mkuu wa CECAFA

Kindumbwe ndumbwe cha michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup kinaanza kesho ambapo mechi ya ufunguzi ya Kundi A ni kati Atlabara ya Sudan Kusini ambayo itamenya na KMKM ya Zanzibar kuanzia saa saba mchana.
Mechi ya pili itakuwa ni mechi ya kundi B kati ya Gor Mahia ya Kenya ambao watapepetana vikali na KCCA ya Uganda .
Wenyeji Rayon sports ya Rwanda itashuka dimbani kumenyana na Azam ya Tanzania katika mechi nyingine ya kundi A.
Azam ya Tanzania imepata nafasi ya kucheza michuano hiyo baada ya Yanga pia ya Tanzania kuondolewa kwa kutotimiza vigezo vya michuano hiyo ambapo ni pamoja na kupeleka kikosi cha pili cha timu hiyo.
BBC

No comments:

Post a Comment