Habari
zilizotufikia punde, basi la Kampuni ya Abood lililokuwa likisafiri
kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Tunduma mkoani Mbeya, limepata ajali
wilayani Mufindi, mkoani Iringa. Japo
bado idadi ya waliojeruhiwa haijajulikana, lakini wamekimbizwa katika
hospitali ya wilaya ya Mufindi kwa ajili ya matibabu zaidi. Ajali hiyo imetokea majira ya saa 10 jioni. CREDIT SOURCE: REHEMA KIKWETE/WANABIDII
No comments:
Post a Comment