Twitter Buzz
....
...
IMETOSHA!
Featured post
KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO
Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...
Thursday 7 August 2014
BREAKING NEWS: BASI LA ABOOD LAPATA AJALI MUFINDI
Habari zilizotufikia punde, basi la Kampuni ya Abood lililokuwa likisafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Tunduma mkoani Mbeya, limepata ajali wilayani Mufindi, mkoani Iringa.
Japo bado idadi ya waliojeruhiwa haijajulikana, lakini wamekimbizwa katika hospitali ya wilaya ya Mufindi kwa ajili ya matibabu zaidi.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa 10 jioni.
CREDIT SOURCE: REHEMA KIKWETE/WANABIDII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment