"Mwenyezi Mungu awape ujasiri katika mwezi huu Mtukufu, awape nguvu katika funga, atakabali dua zenu, funga yenu iwe na kibali machoni pake, awajazi rehema zake kwa yote mema mnayoyanuia." Brother Danny Blog inawatakia wasomaji wote Ramadan Kareem. Daniel Mbega, Iringa
No comments:
Post a Comment