Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday, 9 June 2014

MWIGULU NCHEMBA ATOA MSAADA KWENYE AJALI KIBAIGWA, DODOMA


 Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Lameck Nchemba, muda mfupi uliopita amejikuta akisimamisha safari na kutoa msaada baada ya kukuta ajali katika eneo la Kibaigwa yapata kilometa 120 kutoka Dodoma mjini.
Mhe. Nchemba alikuwa anatokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam na ndipo alipoikuta gari ndogo aina ya RAV 4 short-chassis ikiwa imepinduka.
Haya ni maneno ya Mwigulu:
"Nikiwa njiani Kutoka Dodoma kuelekea Morogoro nimekuta ajali imetokea maeneo ya Kibaigwa,Kusimama na Kutoa Msaada wa huduma ya Kwanza kwa Majeruhi ni wajibu Wakila Mtanzania. Ashukuriwe Mungu ajali haikusababisha Kifo Chohote."

CREDIT: EMMA KAAYA/WANABIDII

No comments:

Post a Comment