Pages

Pages

Pages

Monday 30 June 2014

HII NDIYO SAFU MPYA YA KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA (SEKRETARIETI) YA CUF


1. Naibu Katibu Mkuu (Bara), Mhe. Magdalena Sakaya.
2. Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.
3. Mkurugenzi wa Mipango na Chaguzi, Mhe. Omar Ali Shehe.
4. Naibu Mkurugenzi wa Mipango na Chaguzi, Mhe. Shaweji Mketo.
5. Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma, Mhe. Salim Bimani.
6. Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma, Mhe. Abdul Kambaya.
7. Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Sheria, Mhe. Kulthum Mchuchuli.
8. Naibu Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Sheria, Mhe. Pavu Abdallah Juma.
9. Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha, Mhe. Joran Bashange.
10. Naibu Mkurugenzi wa Uchumi nau Fedha, Mhe. Abdallah Bakari Hassan.
11. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama (hajateuliwa).
12. Naibu Mkurugenzi wa Uinzi na Usalama, Mhe. Yussuf Salim Hussein.
13. Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, Mhe. Ismail Jussa.
14. Naibu Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, Mhe. Abdallah Mtolea.

No comments:

Post a Comment