Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 17 June 2014

BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA KUTUMIA AKAUNTI YA JUNIOR JUMBO

Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Premier, Fabiola Mussula akizungumza waandishi wa habari kuhusiana na Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika waliyoandaa kupitia akaunti ya Junior Jumbo kwa ajili ya watoto.
 Kila aina ya michezo ilikuwepo katika kuipamba Siku ya Mtoto wa Afrika. 
 Watoto wakicheza michezo mbalimbali nje ya Benki ya CRDB Tawi la Premier, uongozi wa Benki ya CRDB iliwaandali michezo mbalimbali watoto ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.
Meneja wa Akaunti ya Wateja Wadogo na wa Kati wa Benki ya CRDB, Mary Kimasa akimlisha keki mmoja wa watoto wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika iliyofanyika katika Tawi la Premier  jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Premier, Fabiola Mussula (kushoto), akimkabidhi zawadi mtoto,  Hildegalde Moris ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika iliyofanyika katika tawi hilo jijini Dar es Salaam na kuwashirikisha watoto kutoka  shule mbalimbali za msingi.
 Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Premier, Fabiola Mussula (kushoto),
akimkabidhi zawadi mtoto,  Owen Gerald ikiwa
ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika iliyofanyika katika tawi
hilo jijini Dar es Salaam na kuwashirikisha watoto kutoka  shule mbalimbali za msingi.
 Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Premier, Fabiola Mussula (kushoto), akimkabidhi zawadi mtoto,  Jorren Nkongoki ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika iliyofanyika katika tawi hilo jijini Dar es Salaam na kuwashirikisha watoto kutoka  shule mbalimbali za msingi. 
Maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.
CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment