Pages

Pages

Pages

Thursday 22 May 2014

WANANCHI WA JIMBO LA IKUNGI MASHARIKI WAMLALAMIKIA MBUNGE WAO KUZUIA MAENDELEO KWA MIAKA MINNE SASA

2Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki  ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi ya Unyaghumpi katika halmashauri ya wilaya ya Ikungi jimbo la Ikungi Mashariki wakati alipotembelea  na kukagua ujenzi wa madarasa katika shule hiyo ambayo maendeleo yake yamedumaa kwa miaka minne sasa kutokana na hatua ya mbunge wa jimbo la Ikungi Mashariki Mh. Tundu Lisu kuzuia wananchi katika kuchangia shughuli za maendeleo, Wananchi wa kijiji hicho baada ya kuchoshwa na tabia za mbunge huyo ambaye amekuwa akiwazuia katika shughuli za maendeleo yao. wameamua kuanza tena utaratibu wa kuchangia maendeleo yao kwa hali na mali kama inavyoonekana  katika picha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki pamoja na wananchi hao katika ujenzi wa moja ya madarasa ya shule hiyo , Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi (CCM.PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-IKUNGI-SINGIDA)1Mwalimu Juliana Joseph akifundisha wanafunzi wa elimu ya awali katika shule hiyo huku wakiwa wamekaa chini katika jengo ambalo pia halijaezekwa kwa miaka minne sasa baada ya shughuli za maendeleo kusimama katika jimbo hilo
3Akina mama wakishiriki shughuli za ujenzi wa madarasa katika shule hiyo.11Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinuana akizungumza na wananchi katika kijiji cha Kibwi kwa mkorea wakati alipotembelea zahanati ambayo imekamilika lakini haijaanza kutoa huduma kutokana na kutokuwepo kwa nyumba za madaktari, mradi ambao ulisimama ukiwa kwenye msingi baada ya wananchi kukatazwa kuchangia ujenzi huo na mbunge wao Tundu Lisu.10Huu ndiyo Msingi wa nyumba ya madaktari ambao ujenzi wake umesimama kutokana na wananchi kugoma kuchangia asilimia tano.12Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mkiwa4Mama mjane Mayasa Mukhando na wananchi wenzake  wakivuna  uwele na mtama shambani kwake. 5Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika shughuli za kuvuna Mtama na Uwele katika shamba la mama mjane Mayasa Mukhando katika kijiji cha Unyaghumpi wilayani Ikungi Singida6Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika shughuli za kuvuna Mtama na Uwele katika shamba la mama mjane Mayasa Mukhando katika kijiji cha Unyaghumpi wilayani Ikungi Singida7Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi CCM naye  akishiriki katika shughuli za kuvuna Mtama na Uwele katika shamba la mama mjane Mayasa Mukhando katika kijiji cha Unyaghumpi wilayani Ikungi Singida8Wananchi mbalimbali wakishiriki katika shughuli za maendeleo katika ujenzi wa madarasa kwenye shule ya msingi ya kijiji cha Unyaghumpi wilayani Ikungi baada ya kuanza tena utaratibu wa kushiriki kwtika shughuli za maendeleo jimboni humo jimbo hilo linaongozwa na Mh. Tun13du Lisu CHADEMA. Mkuu wa wilaya ya Kishapu Ndugu Wilson Nkambaku akizungumza na kada wa Chama cha mapinduzi Bw. Hamisi Ngila.12Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mkiwa14Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na watoto katika kijiji cha Mkiwa16Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa kilimo cha umwagiliaji wa mbogamboga ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Singida Agricuture Company Limited Bw. AllyMohamed wakati akielezea jinsi wanavyosindika mbogamboga hizo na kuzisafirisha katika nchi za Ulaya, Katikati ni Mkuu wa mkoa wa Singida Parseko Kone na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa mwa Singida Mgana Msindai. 15Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi CCM naye akishiriki pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo katika kuchambua mbogamboga hizo.17Wafanyakzi wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi18Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi CCM  akilima shamba kwa  trekta katika mashamba ya mbogamboga ya kampuni ya Singida Agricuture Company Limited katika kijiji cha Mkiwa.22Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia mipira maalum ya kumwagilia iliyotandazwa katika mashamba hayo.21Wafanyakazi wa kampuni hiyo wakipulizia dawa shambani ili kuzuia maambukizi  ya magonjwa mbalimbali ya mimea.20Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Bw. Ally Mohamed jinsi mitambo hii inavyogawanya maji ili kusambaza kwenye mashamba.19Baadhi ya wafanyakazi wakiwa na ndoo zilizojaa mbogamboga mara baada ya kuvuna katika mashamba hayo tayari kwa kusindika na kusafirisha nje ya nchi kwa mauzo.28Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Bw. Ally Mohamed jinsi mitambo hii inavuna  maji  kutoka katika visima vinne vilivyochimbwa katika mashamba hayo na kupeleka kwenye bwawa kisha kusambaza kwenye mashamba.26Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia mbogamboga zilizotayari kwa kusindikwa na kusafirishwa nje kutoka shambani.25Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwaangalia maadhi ya wafanyakazi waliovalia sare wakifanya kazi katika mashamba hayo.
29Hili ni Bwawa maalum lililotengenezwa katika shamba hilo ambalo linapokea maji kutoka katika visima vinne na kisha kusambazwa katika mashamba tayari kwa kumwagilia.
 Nape akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Ikungi
Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Ikungi.

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment