Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa jimbo la Urambo katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwananchi Square mjini Urambo. Katibu Mkuu huyo yuko katika ziara ya mikoa mitatu ya Tabora, Singida na Manyara akikagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya CCM akiwa ameongozana Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM, Katika mkutano huo pia Kinana amesimikwa kuwa chifu wa wanyamwezi. Huku akikabibidhi pikipiki 16 na baiskeli 95 kwa ajili ya watendaji wa chama cha mapinduzi katika kata na matawi zilizotolewa na wabunge Mh. Samwel Sitta wa jimbo la Urambo na Magreth Sitta Mbunge wa viti maalum mkoa wa Tabora. (PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE=URAMBO-TABORA)Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwananchi Square mjini Urambo jana.Mkuu wa mkoa wa Tabora Bi. Fatma Mwassa akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara mjini Urambo jana.Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika mkutano huoKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisimikwa kuwa chifu wa wanyamwezi wakati wa mkutano huoUmati uliohudhuria katika mkutano huo ukimsikiliza Nape Nnauye.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa katika picha ya pamoja na wazee wa kimila wa kabila la Wanyamwezi mara baada ya kusimikwa kuwa chifu wa wnyamwezi.Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi kulia akiwana Mbunge wa jimbo la Urambo mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Samwel Sitta kushoto na Mkuu wa mkoa wa Tabora Bi Fatma Mwassa.Umati wa wananchi ukimsikiliza Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati akihutubia katika mkutano huo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi pikipiki kwa mmoja wa makatibu kata Bw. Baraka Baraka ambazo zimetolewa na wabunge Mh. Samwel Sitta wa jimbo la Urambo mashariki na Magreth Sitta Mbunge wa viti maalum mkoa wa Tabora. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akibidhi pikipiki kwa mmoja wa viongozi wa chama hicho wilayani Urambo Bi.Fatma Ulaya.
Mbunge wa Urambo Mashariki Ndugu Samuel Sitta akiwahutubia wakazi wa Urambo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Wananchi,Urambo mkoani Tabora.
CHANZO FULL SHANGWE
No comments:
Post a Comment