HIVYO NDIVYO UGOMVI WA WAKULIMA NA WAFUGAJI UNAVYOANZA
Mara nyingi ugomvi baina ya wakulima na wafugaji huanza namna hii kama ng'ombe hawa wanavyoonekana wakilishwa pembezoni mwa shamba la mpunga uliokomaa huku wachungaji wakiangalia. Nimewakuta leo hii huko Pawaga wakiwa hawana wasiwasi kabisa huku malisho mengine yakionekana wazi yenye majani ya kutosha. Kumbe, ugomvi huu unaepukika busara zikitumiwa.
No comments:
Post a Comment