Pages

Pages

Pages

Tuesday 29 April 2014

NMB YAFUNGUA TAWI JIPYA KIGOMA

1
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bw. Ramadhani Maneno akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Kigoma .Hafla hii ya uzinduzi ilifanyika katika viwanja vya tawi la NMB Kigoma.Wakishuhudia ni Meneja wa NMB Kanda ya Magharibi Bw. Abraham Augustino (kushoto) pamoja na Meneja wa tawi la NMB Kigoma, Bw. Rogers Malang’u. 

3
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bw. Ramadhani Maneno akipata maelezo kuhusu huduma za ‘NMB Fast Track’ kutoka na Meneja wa NMB Kanda ya Magharibi Bw. Abraham Augustino (kushoto) pamoja na Meneja wa tawi la NMB Kigoma, Bw. Rogers Malang’u.


4

Tawi hili la Kigoma litakua likitoa huduma zote kuanzia kuweka na kutoa fedha, mikopo, malipo kwa taasisi kubwa zikiwemo za serikali na nyinginezo.


CHANZO,FULL SHANGWE 

No comments:

Post a Comment