Pages

Pages

Pages

Tuesday 29 April 2014

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA MAKAMU WA RAIS CHAFUNGULIWA KARIMJEE DAR

_DSC0677
Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais Bw.Sazi Salula (katikati) akifungua rasmi kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais kilichofanyika Karimjee jijini Dar es Salaam leo hii kulia ni Naibu katibu Mkuu  Eng. Angerina Madete, na wa kwanza kushoto Katibu wa Baraza Bw. Isaya Kisiri.
_DSC0664
Sehemu ya wajumbe wa baraza la wafanyakazi toka Ofisi ya Makamu wa Rais wakimsikiliza Katibu Mkuu Bw. Sazi Salula wakati wa ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. 



CHANZO,FULL SHANGWE 

No comments:

Post a Comment