Pages

Pages

Pages

Monday 6 January 2014

WAZIRI MGIMWA ANAZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MAGUNGA

Mwili wa marehemu Waziri William Mgimwa ukiteremshwa kwenye ndege katika Uwanja wa Nduli mjini Iringa.

 Maofisa Usalama na vijana wa Chama cha Mapinduzi wakijiandaa kuubeba mwili wa marehemu Mgimwa katika Uwanja wa Ndege wa Nduli mjini Iringa.
 Mwili wa marehemu Mgimwa ukiwekwa vyema ndani ya Ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa tayari wa kwa ibada na kuagwa na wakazi wa mkoa huo.
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliongoza mamia ya wakazi wa Iringa kuuga mwili wa marehemu Mgimwa.
Wakazi wa Mkoa wa Iringa wakiwa wamefurika kwenye Ukumbi wa Siasa ni Kilimo wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kuuaga mwili wa marehemu Mgimwa. (Picha zote za hisani ya Mjengwablog).

No comments:

Post a Comment