Pages

Pages

Pages

Tuesday 17 December 2013

UNABISHA? NITAKUTWANGA!

Idi Amini Dada alikuwa bondia, halafu bingwa wa uzito wa juu kwao Uganda. Ubabe wake haukuchagua mahali, wakati wala nani. Hapa anazipanga kwa mzaha na Ian Woodledge. Huyu jamaa alikuwa noma.

No comments:

Post a Comment