Pages

Pages

Pages

Tuesday 12 November 2013

DK. MVUNGI AFARIKI DUNIA

Habari zilizoifikia blog hii hivi punde ni kwamba, Dk Sengondo Mvungi amefariki dunia nchini Afrika Kusini alikokwenda kutibiwa kufuatia kuvamiwa na watu wanaosadikiwa majambazi ambao walimkatakata mapanga.
Dk Mvungi, ambaye alikuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na Mkurugenzi wa Katiba wa Chama cha NCCR Mageuzi, amefariki kufuatia majeraha makubwa aliyoyapata pamoja na kuvilia damu kwenye ubongo.
Tutawaeletea taarifa baadaye.

No comments:

Post a Comment